
Ni Headlines za mshambuliaji, Lionel Messi ambae Agosti 12, 2021 ameanza rasmi mazoezi katika Klabu yake mpya PSG.
mchezaji huyo ambae amaitumikia club ya Barcelona takribani miaka mingi sanaa na sasa kaanza kuitumikia club ya PSG na huko ndiko atakuwa akicheza mpira kuanzia agost 12,2021
0 Comments