Ad Code

Responsive Advertisement

Wakati ukifika nitawatafuta viongozi wa upinzani..njooni tukae’ Rais Samia

Wakati ukifika nitawatafuta viongozi wa upinzani..njooni tukae’ Rais Samia

ssh

Rais waTanzania Samia Suluhu Hassan amesema yungali ana nia ya kukutana na viongozi wa upinzani nchini humo . Akizungumza na BBCkatika mahijiano ya kipekee ,rais Samia amesemaanataka kukutana na viongozi wa upinzani wakiwa na umoja .

‘Nilitaka kukutana nao ,lakini sio wakiwa wamechambuka chambuka.’ Amesema Rais Samia .

Aliongeza kwamba lengo lake ni kukutana na viongozi hao wakiwa katika baraza lao na tayari uchaguzi wamabaraza umefanyikana kufungua milango ya uwezekano wa mkutano huo .

‘Kama wameshajiunda vziuri ,na hizi kamati zao ndogo ndogo zimejiunda vizuri basi nitatafuta siku tuitane tuzungume…hata mimi nataka kuzungumza nao niwaambie mwelekeo wangukwamba sasa tumemaliza uchaguzi twendeni tukajenge nchi’ aliongeza rais Samia . 

Post a Comment

0 Comments

Ad Code

Responsive Advertisement